Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Burundi
  • Page 2

Tag: Burundi

Kiongozi wa Upinzania Auwawa Burundi

Posted on: May 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, Siasa
Kiongozi wa Upinzania Auwawa Burundi

KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi. Mwili wa kiongozi huyi, Zedi Feruzi pamoja na wa mlinzi wake ulipatikana nje…

Continue Reading....

Jeshi Linalomtii Rais Nkurunziza Lazima ‘Mapinduzi’ Burundi

Posted on: May 15, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, Jeshi, Mapinduzi
Jeshi Linalomtii Rais Nkurunziza Lazima ‘Mapinduzi’ Burundi

JESHI linalomtii Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza jana lilifanikiwa kuzima mapinduzi ya kijeshi yaliyopangwa kufanywa na wanajeshi wafuasi wa Meja Jenerali Godefroid Niyombare aliyetangaza kupitia…

Continue Reading....

Mwenyekiti Vuguvugu la Maandamano Burundi Azungumza Tanzania

Posted on: May 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, Maandamano, Mwenyekiti
Mwenyekiti Vuguvugu la Maandamano Burundi Azungumza Tanzania

 Mwenyekiti wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni mwanaharakati wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau.  Hapa mwanaharakati huyo akisisitiza jambo kwa wanahabari. Salha…

Continue Reading....

JK: Salama ya Burundi ni Kuheshimu Katiba na Sheria

Posted on: March 20, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, katiba, sheria
JK: Salama ya Burundi ni Kuheshimu Katiba na Sheria

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete na Mwenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),…

Continue Reading....

Uainishaji Mipaka Kimataifa Burundi na Tanzania Hauwagawi wakazi

Posted on: August 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Burundi, Mipaka, tanzania
Uainishaji Mipaka Kimataifa Burundi na Tanzania Hauwagawi wakazi

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Kagera MARAIS wa Tanzania na Burundi wamewatoa hofu wakazi wa maeneo ya mpakani mwa Tanzania na Burundi kuwa zoezi la…

Continue Reading....

Posts navigation

Newer posts
thehabari