
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula akiwasalimia mabalozi wa nyumba kumi wa kata 21 za Ilemela na Nyamagana baada ya kuzungumza nao, kwenye Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza Januari 20, 2013. Kulia ni Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula akiwasalimia mabalozi wa nyumba kumi wa kata 21 za Ilemela na Nyamagana baada ya kuzungumza nao, kwenye Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza Januari 20, 2013. Kulia ni Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.