President Dr. Kikwete attends a One Day Summitt of The Leaders of the Former Liberation Movements in Southern Africa

Namibia’s President Hifikepunye Pohamba who is also the president of SWAPO’s ruling party,(right) delivers his opening remarks during the opening session of the one day summit of Leaders of former Liberation movements in Southern Africa held yesterday at Windhoek State House. From left, CCM’s Secretary General Wilson Mukama, CCM’s Chairman President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, ZANU PF Secretary General Didymus Mutasa …

Usajili Ligi Daraja la Kwanza Agosti 17

USAJILI wa wachezaji wa klabu za Ligi Daraja la Kwanza kwa msimu huu utafanyika baada ya kumalizika Ligi ya Taifa hatua ya fainali inayoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Baada ya fainali hizo kumalizika Agosti 14 mwaka huu TFF itatoa mwelekeo wa usajili huo (roadmap) ikiwemo tarehe ya kuanza na kumalizika, pamoja na kipindi cha pingamizi. Timu …

Kamati TFF yamrejesha Mchaki

KAMATI ya Uchaguzi ya TFF ilikutana Agosti 10 na 11 mwaka huu kujadili rufani ya Frank Mchaki kupinga uamuzi wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kumuengua kugombea nafasi ya Katibu Mkuu katika uchaguzi wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Kinondoni (KIFA). Chini ya Mwenyekiti wake Deogratias Lyatto, Kamati …

Simba na Yanga sasa kuvaana usiku Agosti 17

MECHI ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya mabingwa watetezi Yanga na Makamu Bingwa Simba itachezwa usiku (Agosti 17 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Dar es Salaam na Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura, uamuzi wa mechi hiyo kuchezwa usiku kuanzia …

President Kikwete congraturates Miss Kanza

THE President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete has congratulated his Personal Assistant for Economic Affairs, Miss Elsie Kanza, on her appointment to the position of Head of Africa at the prestigious Institution – The World Economic Forum. Her appointment takes place effective Monday, August 8, 2011. In his statement, today, Friday, August 12, 2011, …

Marekani yataka dunia kuitenga Syria

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, Hillary Clinton amezitaka Serikali za nchi za Magharibi kuiwekea vikwazo nchi ya Syria kufuatia harakati za kijeshi dhidi ya waandamanaji wanaopinga Serikali. Amesema hatua kutoka Ulaya, China na India zinaweza kuathiri sekta ya nishati nchini Syria na kumshinikiza rais Bashar Al Asaad. Jumatano wiki hii Marekani ilitangaza kuiwekea vikwazo nchi ya Syria. Hata …