
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Balozi wa Uganda aliyemaliza muda wake wa kazi hapa nchini Ibrahim Mukiibi alipofika kuaga

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mwakilishi wa Benki ya Dunia katika nchi za Tanzania, Burundi na Uganda, Bw. Phillipe Dongier, mara bada ya maongezi yao
Raisi Kikwete aagana na Balozi wa Uganda na kukutana na Wakilishi wa Benki ya Dunia pia azungumza na rais mstaafu wa Kosovo
Picha na Ikulu