
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kama ishara ya Ufunguzi wa Jengi jipya la Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, sherehe hizo zilizofanyika huko Kilimani Mjini Zanzibar (kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Mwinyihaji Makame Mwadini. [Picha na Abdalla Haji Abdalla]