Bibi wa Miaka 72 Ajifungua Mtoto Nchini India

Mwanamke wa umri wa miaka 72 amejifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nchini India. Mwanamke huyo alipachikwa mimba kupitia njia ya kitaalamu ya IVF ambapo yai la mwanamke hutolewa kutoka kwenye ovari, kutungishwa mbegu ya kiume na kisha kurejeshwa kwenye mji wa mimba. Yai hilo linaweza kutolewa kwa mwanamke mwingine. Njia hiyo hutumiwa kuwawezesha wanawake tasa kupata watoto.Daljinder Kaur alijifungua …

Kweli Dunia Imekwisha,Ushawahi Kuona Mwanaume Apata Hedhi

George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ”hedhi ya kiume”. Anasema kuwa ni rafiki wa karibu wa Amber May Ellis jirani yake na hivyobasi hupata uchungu wa hedhi kila mwezi rafikiye anapopata hedhi. Uchungu huo anasema huwa mkali hadi kulazimika kuchukua likizo ya kuwa mgonjwa.Akizungumza na Newsbeat,George anaelezea:Nadhani …

Paka Akamatwa na Vitu vya Wizi Soksi 50 na……………

Paka mmoja mwizi wakati wa usiku amekuwa akiiba soksi pamoja na nguo za ndani nchini New Zealand. Katika kipindi cha miezi miwili, paka huyo mwenye umri wa miaka sita kwa jina Brigit kutoka mji wa Hamilton aliiba suruali za ndani 11 na zaidi ya soksi 50. Mmiliki wake Sarah Nathan alichapisha tabia ya paka huyo isiyo ya kawaida katika mtandao …

Duu! Kweli Dunia Ina Mambo Kiazi Chauzwa Dola Milioni Moja

Chakula ni chakula tu na Sio jambo la ajabu kutamani kula viazi hususan baada ya kubugia glasi kadha ya mvinyo. Iwe ni viazi karai ,viazi vya kuchoma au hata Chips lakini bwana mmoja nchini Uingereza ameustaajabisha ulimwengu kwa kununua picha ya kiazi kwa dola milioni moja. Baada ya kumimina glasi kadhaa za kinywaji chake alitia sahihi hundi ya pauni laki …

Viongozi Wanaongoza Kwa Kulia Hadharani

Rais wa Marekani aligonga vichwa vya habari alipotokwa na machozi alipokuwa akiwahimiza Wamarekani wakubali mabadiliko kwenye masharti ya uuzaji wa silaha Marekani. Alizidiwa na hisia alipokuwa akisimulia kuhusu shambulio la ufyatuaji risasi katika shule ya msingi ya Sandy Hook mwaka 2012 ambapo watoto 20 na watu wazima sita. Hii haikuwa mara yake ya kwanza kutokwa na machozi akizungumzia kisa hicho. …