Category: Habari za Vijijini
Jamii za Kifugaji wasaidiwa ujenzi wa bweni
Na Mwandishi Wetu, Arusha MASHIRIKA mawili yasiyokuwa ya kiserikali (NGO’s) yanayotoa msaada na ushauri wa kisheria kwa jamii za kifugaji na wawindaji na kutetea haki…
Continue Reading....Breaking Newzz: ‘Mchawi’ adondoka angani!
Na Mwandishi Wetu, Mkuranga TAARIFA ambazo zimetufikia ni kwamba mama mmoja (55) akiwa mtupu, yaani kama alivyozaliwa amedondoka kutoka angani alipokuwa akisafiri na ungo pamoja…
Continue Reading....RC Tanga atembelea vitalu vya miche ya machungwa
Na Ngusekela David, Tanga MKUU wa Mkoa wa Tanga, Chiku Ngalawa amefanya ziara fupi katika vitalu vya miche ya machungwa vinavyozalishwa na wakulima wa Kikundi…
Continue Reading....Makovu ya Nduli Amini hayata sahaulika- Askofu Kilaini
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Bukoba, Methodius Kilaini, amesema makovu yaliyotokea katika vita vya Kagera vilivyoanzishwa na Nduli Idd Amini wa Uganda hayawezi…
Continue Reading....Wakulima wanogewa na mradi wa kilimo cha alizeti
Na Dunstan Mhilu, Ruvuma MUUNGANISHO wa Ujasiriamali Vijijini (MUVI) kutoka kikundi cha ’Moto Moto’ kilichopo katika Kijiji cha Amani Makoro, Kata ya Mkako wilayani Mbinga,…
Continue Reading....