Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 30

Category: Habari za Vijijini

Bweni la wanafunzi lateketea kwa moto Handeni

Posted on: April 24, 2012 - jomushi
Bweni la wanafunzi lateketea kwa moto Handeni

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com Handeni WANAFUNZI takriban 50 wa Shule ya Sekondari Kidereko wilayani Handeni hawana sehemu ya kujihifadhi baada ya bweni lao kuteketea kwa…

Continue Reading....

Upatikanaji huduma ya maji Kisarawe tatizo

Posted on: April 11, 2012April 11, 2012 - jomushi
Upatikanaji huduma ya maji Kisarawe tatizo

Na Joachim Mushi, Kisarawe MGOGORO wa ukosefu wa maji ya matumizi ya nyumbani na shughuli nyingine bado ni kero kubwa kwa wakazi wa Wilaya ya…

Continue Reading....

Omba Mungu usiibiwe Maneromango, ni mzigo mara dufu

Posted on: April 3, 2012 - jomushi
Omba Mungu usiibiwe Maneromango, ni mzigo mara dufu

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Kisarawe UKIWA wewe ni mkazi wa Kata ya Maneromango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani huenda siku zote utakuwa ukiomba isitokee umeibiwa au…

Continue Reading....

Darasa la tano na sita wasomea darasa moja Kisarawe

Posted on: March 29, 2012 - jomushi
Darasa la tano na sita wasomea darasa moja Kisarawe

Na Joachim Mushi, Thehabari-Kisarawe WAKATI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini ikijipanga kuanza kufundisha kwa kutumia teknolojia ya kompyuta katika shule mbalimbali, wanafunzi…

Continue Reading....

Wanafunzi 159 wa Shule ya Sekondari Maneromango wakimbia mitihani

Posted on: March 29, 2012 - jomushi
Wanafunzi 159 wa Shule ya Sekondari Maneromango wakimbia mitihani

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Kisarawe WANAFUNZI 159 wa Shule ya Sekondari Maneromango wametoroka kufanya mitihani ya majaribio ya robo muhula iliyoanza juzi katika shule hiyo. Wanafunzi…

Continue Reading....

Kikundi cha Maduma na mafanikio ya miche

Posted on: March 28, 2012 - jomushi
Kikundi cha Maduma na mafanikio ya miche

Na Mwandishi Wetu, Muheza UNAPO zungumzia kati ya vikundi vilivyofanikiwa katika ufanyaji wa shughuli zake wilayani Muheza ni vigumu kutokitaja kikundi cha miche ya machungwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari