Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com- Mafinga WANAFUNZI wenye ulemavu anuai katika Shule ya Msingi Makalala wameiomba Serikali na wadau wengine kuwasaidia kuwajengea mazingira bora ya kujifunzia…
Continue Reading....Category: Habari za Vijijini
Wanakijiji wailalamikia Serikali Kuu
WANAKIJIJI wa kijiji cha Mkambarani Morogoro Vijijini, wameilalamikia Serikali Kuu na halmashauri ya Wilaya kwa kumuingiza mwekezaji kutoka Korea katika kijiji jirani cha Pangawe na…
Continue Reading....Tunalaani mauaji ya wazee kwa imani za kishirikina
Tangu jana tumekuwa tunaadika habari maalum kuhusu mauaji ya vikongwe mkoani Geita. Habari hiyo imejikita katika tukio la hivi karibuni kabisa la Mei 10, mwaka…
Continue Reading....Binti asimulia mamaye alivyouawa kinyama
Ni ukatili usioelezeka, ni kukosa hata chembe ya ubinadamu, hii ni simulizi ya kutisha ya binti aliyeshuhudia mama yake akicharangwa mapanga kutokana na imani za…
Continue Reading....‘Ashindwa kujiunga na Sekondari Handeni kwa kukosa ada’
Na Joachim Mushi, Handeni LICHA ya Serikali kuliarifu Bunge la Tanzania kuwa wanafunzi wote waliofaulu darasa la saba mwaka 2011 kutoka mikoa 12 tayari wamejiunga…
Continue Reading....Sekondari za Kata Handeni zachochea mimba kwa wanafunzi
Na Joachim Mushi, Thehabari, Handeni WANANCHI wilayani Handeni wameilalamikia mazingira magumu kimiundombinu ya shule za sekondari za kata katika wilaya hilo na kudai ndiyo chanzo…
Continue Reading....