Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 27

Category: Habari za Vijijini

Je, Wajua Jinsi ya Kutunza Miti ya Michungwa..!

Posted on: October 25, 2012 - jomushi
Je, Wajua Jinsi ya Kutunza Miti ya Michungwa..!

MITI ya michungwa inahitaji uangalizi wa hali ya juu, kitu ambacho wakulima wengi ama hawakijui ama hawakitilii maanani.miti hii hupandwa kwa mbegu za milimao ya…

Continue Reading....

CHAVITA Mkuranga Waomba Kusaidiwa Kielimu

Posted on: October 11, 2012 - jomushi
CHAVITA Mkuranga Waomba Kusaidiwa Kielimu

Na Joachim Mushi, Mkuranga CHAMA cha Viziwi Wilaya ya Mkuranga (CHAVITA), kimeiomba Serikali na wadau wengine kuisaidia jamii hiyo ya walemavu iweze kupata fursa za…

Continue Reading....

Kangoye azungumzia maendeleo ya Benki ya Vijana

Posted on: September 7, 2012 - jomushi
Kangoye azungumzia maendeleo ya Benki ya Vijana

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Tanzania Youth Development Agenda (TAYODA), imesema mchakato wake wa kuanzisha benki ya vijana kwa lengo la kuwakomboa na kupata mikopo…

Continue Reading....

Wanakijiji kuishtaki Serikali Umoja wa Mataifa

Posted on: July 22, 2012 - jomushi
Wanakijiji kuishtaki Serikali Umoja wa Mataifa

Augustine Mgendi, Buhemba WANANCHI wa vijiji vitatu wanaozungukwa na Mgodi wa Buhemba, Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamekusudia kuishtaki Serikali ya Tanzania katika Taasisi za…

Continue Reading....

Mama wa mwanafunzi aliyeshindwa kujiunga na sekondari Handeni afariki dunia

Posted on: July 19, 2012 - jomushi
Mama wa mwanafunzi aliyeshindwa kujiunga na sekondari  Handeni afariki dunia

Na Joachim Mushi, wa dev.kisakuzi.com MAMA wa mwanafunzi Mwenjuma Magalu aliyechaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari Komnyang’anyo wilayani Handeni na kushindwa kujiunga na shule hiyo…

Continue Reading....

Kituo cha afya chakatiwa umeme, wajawazito wajifungua na chemli

Posted on: June 26, 2012 - jomushi
Kituo cha afya chakatiwa umeme, wajawazito wajifungua na chemli

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Kishapu KITUO cha Afya kilichopo Kata ya Songwa, Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga kimekatiwa umeme kwa takribani miezi saba sasa kikidaiwa bili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari