Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 18

Category: Habari za Vijijini

Mahakama Nkasi Yalalamikiwa Kuvunja Ndoa Yenye Mgogoro Bila Kugawanya mali

Posted on: January 8, 2014 - jomushi
Mahakama Nkasi Yalalamikiwa Kuvunja Ndoa Yenye Mgogoro Bila Kugawanya mali

Na Joachim Mushi, Nkasi MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere wilayani Nkasi imelalamikiwa kwa kitendo cha kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro kwa wanandoa bila kugawanya mali iliyochumwa…

Continue Reading....

Vijana Watakiwa Kujiunga Kukabiliana na Umaskini

Posted on: December 25, 2013 - jomushi
Vijana Watakiwa Kujiunga Kukabiliana na Umaskini

Yohane Gervas, Rombo VIJANA wilayani Rombo wametakiwa kufanya kazi kwa bidii sambamba na kujiunga katika vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukabiliana na umasikini unaowakabili.…

Continue Reading....

Mwalimu Shule ya Msingi Amtia Mimba Mwanafunzi Wake na Wasekondari

Posted on: December 22, 2013December 22, 2013 - jomushi
Mwalimu Shule ya Msingi Amtia Mimba Mwanafunzi Wake na Wasekondari

Na Joachim Mushi, Namanyere-Nkasi MWALIMU mmoja wa Shule ya Msingi Sintali (jina tunalo) anatuhumiwa kwa kuwatia mimba wanafunzi wawili mmoja akiwa wa shule anayofundisha yeye…

Continue Reading....

Aowa Wanafunzi Mtu na Dada Yake

Posted on: December 20, 2013 - jomushi
Aowa Wanafunzi Mtu na Dada Yake

Na Joachim Mushi, Nkasi JESHI la Polisi Wilaya ya Nkasi kupitia dawati la Jinsia na Watoto, linamshikilia Pius Jacob Mkazi wa Kijiji cha Chala kwa…

Continue Reading....

Polisi Wapeleka Kikosi Maalum Kuwasaka Waliovamia Kituo Malinyi

Posted on: December 20, 2013 - jomushi
Polisi Wapeleka Kikosi Maalum Kuwasaka Waliovamia Kituo Malinyi

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Tanzania, limepeleka timu maalumu ya askari kutoka makao makuu kwenda wilayani Ulanga, Mkoa wa Morogoro katika Operesheni ya kuwasaka…

Continue Reading....

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Ataka Walevi Kudhibitiwa Rombo

Posted on: December 7, 2013 - jomushi
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Ataka Walevi Kudhibitiwa Rombo

Yohane Gervas, Rombo MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Rombo kuhakikisha anawaagiza viongozi wote wa vijiji vya wilaya ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari