Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 17

Category: Habari za Vijijini

Wazazi Waliogoma Kusomesha Wanafunzi Kusakwa Rombo

Posted on: February 5, 2014 - jomushi
Wazazi Waliogoma Kusomesha Wanafunzi Kusakwa Rombo

SERIKALI wilayani Rombo imetangaza kuanza msako mkali wa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani wazazi/walezi wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2014 ambao…

Continue Reading....

Mahakama Nkasi Yamuamuru Mume Kujenga Nyumba ya Mtalaka Wake

Posted on: January 26, 2014 - jomushi
Mahakama Nkasi Yamuamuru Mume Kujenga Nyumba ya Mtalaka Wake

*Nialiyoivunja baada ya kutengana MAHAKAMA ya mwanzo Mjini Namanyere, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imetoa amri ya kumtaka Ndebile Kazuri kujenga nyumba ya aliyekuwa mke…

Continue Reading....

Wakongo ‘Wang’ang’ania’ Tanzania, Wavutiwa na Amani

Posted on: January 17, 2014 - jomushi
Wakongo ‘Wang’ang’ania’ Tanzania, Wavutiwa na Amani

Na Joachim Mushi, Kirando, Nkasi WAHAMIAJI haramu raia kutoka nchini Congo (DRC) wameanza kurejea nchini Tanzania ikiwa ni kipindi kifupi tangu Oparesheni Kimbunga ifanyike ambayo…

Continue Reading....

Mapya Yaibuka Ndoa Iliyovunjwa na Mahakama Nkasi, Yadaiwa Mume ‘Alimbaka’ Mwanafunzi…!

Posted on: January 14, 2014 - jomushi
Mapya Yaibuka Ndoa Iliyovunjwa na Mahakama Nkasi, Yadaiwa Mume ‘Alimbaka’ Mwanafunzi…!

Na Joachim Mushi, Nkasi-Rukwa SAKATA la ndoa iliyovunjwa na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Mkoa wa Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya uchunguzi…

Continue Reading....

Mapya Yaibuka Ndoa Iliyovunjwa na Mahakama Nkasi, Yadaiwa Mume ‘Alimbaka’ Mwanafunzi…!

Posted on: January 9, 2014 - jomushi
Mapya Yaibuka Ndoa Iliyovunjwa na Mahakama Nkasi, Yadaiwa Mume ‘Alimbaka’ Mwanafunzi…!

Na Joachim Mushi, Nkasi-Rukwa SAKATA la ndoa iliyovunjwa na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Mkoa wa Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya uchunguzi…

Continue Reading....

Samaki Amuingilia Binti Tumboni Kupitia Sehemu za Siri Akichota Maji Ziwani

Posted on: January 9, 2014January 9, 2014 - jomushi
Samaki Amuingilia Binti Tumboni Kupitia Sehemu za Siri Akichota Maji Ziwani

MAISHA ya mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 12, (jina tunalihifadhi), anayesoma darasa la tano Shule ya Msingi Bwanza, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari