Yohane Gervas, Rombo WALIMU wawili wa Shule ya Sekondari Ubaa iliyopo katika tarafa ya Mkuu Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wanatuhumiwa kumshambulia na kumjeruhi vibaya…
Continue Reading....Category: Habari za Vijijini
Ahukumiwa Miaka 30 kwa Kumbaka Mwanafunzi Std II
Yohane Gervas, Rombo MAHAKAMA ya Wilaya ya Rombo imemuhukumu Joseph Didas (39) mkazi wa Kijiji cha Ubaa Tarafa ya Mkuu Wilaya ya Rombo kutumikia kifungo…
Continue Reading....Zuio la Unywaji Pombe Rombo Lagonga Ukuta
Yohane Gervas, Rombo LICHA ya juhudi mbalimbali zinazoendelea kufanywa na Serikali katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro za kuzuia ulevi muda wa kazi pamoja na…
Continue Reading....Mwanamke na Changamoto za Maisha Vijijini
MWANAMKE maeneo anuai amekuwa akikumbana na changamoto mbalimbali za maisha ya kila siku, lakini kwa kundi la wanawake vijijini changamoto hizi zimekuwa ni maradufu ukilinganisha…
Continue Reading....Maria: Mume Aliyenikatisha Darasa la Sita, Kanitelekeza na Watoto Wanne
Na Joachim Mushi, Aliyerejea Nkasi MATUKIO ya utelekezaji wa mke na watoto nchini Tanzania bado ni changamoto kubwa katika jamii. Licha ya matukio haya kutofautiana…
Continue Reading....Maria: Mume Wangu Aliiongopea Mahakama Ikavunja Ndoa Yetu
Nkasi, Rukwa NOVEMBA 18, 2013 Mahakama ya mwanzo, Namanyere, Wilaya ya Nkasi iliamua kuvunja ndoa ya Ndebile Kazuri na Bi. Maria Tarafa wote wakazi wa…
Continue Reading....