MAOFISA Miradi pamoja na Maofisa Wakaguzi na Tathmini Miradi toka mashirika matano ya Kiraia yanayopata ruzuku kutoka Mfuko wa Msaada wa Kisheria (LSF) Tanzania, yamemaliza…
Continue Reading....Category: Habari za Vijijini
Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe
Na Joachim Mushi, Mbeya Vijijini BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na…
Continue Reading....Mzee Auwawa Kikatili Wilayani Rombo
MKAZI wa Kijiji cha Mahida Nguduni, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Dominick Kavishe (65) mkulima ameuwa kikatili kwa kuchomwa na vitu vyenye ncha kali katika…
Continue Reading....‘Ushirikina’ Wakwamisha Mapambano ya Mimba kwa Wanafunzi Mbeya Vijijini
Na Joachim Mushi, Mbeya Vijijini VITISHO na hofu ya vitendo vya ushirikina imebainika kuwa vikwanzo vya mapambano ya baadhi ya watu wanaowatia mimba wanafunzi wa…
Continue Reading....Wanavijiji Mbeya Walaumiana Udhibiti wa Mimba kwa Wanafunzi
Na Joachim Mushi, Mbeya Vijijini WANAVIJIJI wa vijiji vya Shibolya, Usoha Njiapanda, Simambwe, Ikhoho na Ilembo Usafwa vyote vya wilayani Mbeya Vijijini wametupiana lawama kuhusiana…
Continue Reading....Ulevi Waanza Kupungua Wilaya ya Rombo
Yohane Gervas, Rombo KASI ya ulevi katika Wilaya ya Rombo imeelezwa kuwa imeanza kupungua baada ya serikali pamoja na wadau wengine wa maendeleo wilayani humo…
Continue Reading....