Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuanza kwa ligi ndogo Mei 11, 2016 katika uwanja wa Karume jijini Dar…
Continue Reading....Category: Michezo
Mamadou Sakho Achunguzwa na UEFA
Beki wa Liverpool Mamadou Sakho anachunguzwa na UEFA kwa kufeli ukaguzi wa madawa ya kulevya. Ijapokuwa raia huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 26…
Continue Reading....Ligi ya Mabingwa wa Mikoa kuanza Mei 14
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza Mei 14, 2016 kuwa tarehe ya kuanza kwa Ligi ya Mabingwa wa mikoa (RCL) itakayozishirkisha bingwa wa…
Continue Reading....Soma Hapa Matokeo ya Ligi Kuu ya Uingereza
Manchester City imepanda hadi nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi ya Uingereza baada ya kuicharaza Stoke City 4-0 huku ikitarajiwa kumenyana na Real Madrid…
Continue Reading....Kufa Kufaana Mbao Fc Yapanda Ligi Kuu
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeitangaza klabu ya Mbao FC ya jijini Mwanza kupanda Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu ujao kutoka katika…
Continue Reading....DC Temeke Azinduwa Michuano ya UMISETA Dar
Wanafunzi wa shule za sekondari za mkoa wa Dar es Salaam wakiwa kwenye uzinduzi huo. Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema (kushoto), akikabidhi…
Continue Reading....