Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 5

Category: Michezo

TFF Yachunguza Kifo cha Mchezaji wa Mbao fc

Posted on: December 5, 2016 - Yohana Chance
TFF Yachunguza Kifo cha Mchezaji wa Mbao fc

KAMATI ya Tiba ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inafanyia uchunguzi kifo cha mchezaji wa Mbao FC, Ismail Mrisho Khalfan aliyefariki jana wakati wa mchezo…

Continue Reading....

Mourinho Kuchunguzwa Kwa ukwepaji wa Ulipaji Kodi

Posted on: December 5, 2016 - Yohana Chance
Mourinho Kuchunguzwa Kwa ukwepaji wa Ulipaji Kodi

Mbunge mmoja nchini Uingereza amesema kuwa mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anafaa kuchunguzwa na maafisa wa Uingereza kufuatia madai kwamba alitumia kampuni za kigeni…

Continue Reading....

Waziri wa Michezo Aridhishwa Ukarabati Uwanja wa Nyamagana

Posted on: November 14, 2016 - jomushi
Waziri wa Michezo Aridhishwa Ukarabati Uwanja wa Nyamagana

Waziri Nhauye ameeleza kuridhishwa na uwekaji wa nyasi bandia kwenye uwanja huo ambapo amewashukuru wadau wote waliofanikisha ukarabati wake wakiwemo wajasiriamali Jijini Mwanza ambao kodi…

Continue Reading....

Wamareka Waanza Kung’ara Tour of Rwanda

Posted on: November 14, 2016 - Yohana Chance
Wamareka Waanza Kung’ara Tour of Rwanda

Mmarekani Ruggy Timothy ndiye aliyeshinda raundi ya kwanza ya ufunguzi wa mashindano ya mbio za kimataifa za baiskeli maarufu Tour of Rwanda yaliyoanza mjini Kigali.…

Continue Reading....

Robert Lewandowski Azua Balaa Uwanjani

Posted on: November 14, 2016 - Yohana Chance
Robert Lewandowski Azua Balaa Uwanjani

Mshambuliaji wa Poland Robert Lewandowski aliangukiwa na fashifashi iliyorushwa kutoka jukwaa la watazamaji katika pambano lililokuwa na hamasa nyingi kati ya Poland na Romania. Mshambuliaji…

Continue Reading....

Taifa Stars Yaifuata Zimbabwe Kukiminya Kesho kutwa

Posted on: November 11, 2016 - Yohana Chance
Taifa Stars Yaifuata Zimbabwe Kukiminya Kesho kutwa

Timu ya Mpira wa Miguu ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro kutoka Kampuni ya Bia Tanzania imeondoka leo Ijumaa saa 7.15 mchana…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari