Dear Colleagues, Be informed that there will be a Copa Coca Cola draw on 31st day of May 2011 at 1130hrs at TFF Offices. Press…
Continue Reading....Category: Michezo
Barcelona 3 Man’Utd 1, Messi ang’ara
WAKIONGOZWA na mchezaji ambaye ni vigumu kumkaba, Lionel Messi Timu ya Barcelona jana waliifanya vibaya Timu ya Manchester United baada ya kuichapa bao 3-1 katika…
Continue Reading....Je, wajua Vuvuzela lina madhara makubwa?
VUVUZELA chombo kilichotumika kwa kushangilia hasa na mashabiki wa soka kwenye Kombe la Dunia la soka mwaka 2010, si tu kinachafua mazingira…
Continue Reading....Simba yachwapwa 3-0 na WYDAD
TIMU ya Simba ya Msimbazi jijini Dar es Salaam imeshindwa kuwapa raha mashabiki wake baada na Watanzania kwa ujumla baada ya kukubali kipigo cha mabao…
Continue Reading....Bin Hammam, Warner wachunguzwa kwa rushwa
SHIRIKISHO la Soka Ulimwenguni (FIFA) imeanza uchunguzi wa tuhuma za rushwa zinazozingira maafisa wake, akiwemo makamu wa rais Jack Warner na mgombea wa kiti cha…
Continue Reading....Simba wakatiliwa kuwatumia Samata na Ochan
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Boniface Wambura, Ofisa Habari wa TFF Wachezaji Mbwana Samata na Patrick Ochan ambao Simba ilitaka kuwatumia kwenye mechi ya…
Continue Reading....