Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 331

Category: Michezo

Orodha ya wachezaji walioachwa na kusajiliwa dirisha dogo Ligi Kuu ya Vodacom

Posted on: December 3, 2011 - jomushi
Orodha ya wachezaji walioachwa na kusajiliwa dirisha dogo Ligi Kuu ya Vodacom

LIGI KUU YA VODACOM 2011 – 2012 WACHEZAJI WALIOACHWA – YANGA SC No Jina la Mchezaji Klabu Anayotoka Klabu Anayohamia 1 Fred Wilfred Mbuna YANGA…

Continue Reading....

Ethiopia, Djibouti na Somalia zaaga mashindano ya Tusker

Posted on: December 2, 2011 - jomushi
Ethiopia, Djibouti na Somalia zaaga mashindano ya Tusker

Na Mwandishi Wetu TIMU za Somalia, Djibouti na Ethiopia leo zimeyaanga rasmi mashindano ya Kombe la Tusker Chalenji jijini Dar es Salaam yanayofanyika katika Uwanja…

Continue Reading....

Wachezaji 1,200 watoto kushiriki tamasha

Posted on: December 2, 2011 - jomushi
Wachezaji 1,200 watoto kushiriki tamasha

Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI mpira wa miguu (wasichana na wavulana) wenye umri kuanzia miaka 6-12 kutoka Mkoa wa Dar es Salaam watashiriki katika tamasha (festival)…

Continue Reading....

Ngorongoro Heroes kwenda Botswana kesho

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
Ngorongoro Heroes kwenda Botswana kesho

KIKOSI cha wachezaji 20 wa timu ya Taifa kwa vijana chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) na viongozi watano kinatarajia kuondoka Novemba 30 mwaka huu…

Continue Reading....

Rashid Matumla kuzichapa na Maneno Osward

Posted on: November 28, 2011November 29, 2011 - jomushi
Rashid Matumla kuzichapa na Maneno Osward

Na Mwandishi Wetu MABONDIA Rashid Matumla ‘Snake Man’ na Maneno Osward ‘Mtambo wa Gongo’ wanatarajia kupanda ulingoni Desemba 25 mwaka huu, kuzichapa katika pambano lisilo…

Continue Reading....

Djibout mikono juu kwa Zimbabwe yalala 2-0

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Djibout mikono juu kwa Zimbabwe yalala 2-0

Michuano ya Mataifa ya ukanda wa Afrika Mashariki na Kati CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP imendelea mjini Dar es Salaam nchini Tanzania ambapo timu mwalikwa wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari