*Wabunge wanawake nao wawachakaza Wawakilishi netibali Na Joachim Mushi TIMU ya mpira wa miguu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania leo imeiadhibu bila…
Continue Reading....Category: Michezo
Tanzania yautema ubingwa CECAFA Tusker Chalenji
*Yachapwa 3-1 na Waganda, mashabiki Yanga washerekea Na Joachim Mushi TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars jana imetolewa kuingia fainali katika Mashindano ya…
Continue Reading....Ngorongoro Heroes kurejea nchini Nov 9
Na Mwandishi Wetu, Gaborone TIMU ya soka ya vijana ya Tanzania ya umri chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, inatarajia kurejea nyumbani kesho Ijumaa alfajiri…
Continue Reading....Nusu Fainali CECAFA Tusker Chalenji kesho
Na Mwandishi Wetu MECHI mbili za nusu fainali kuwania ubingwa wa 35 wa michuano ya CECAFA Tusker Challenge Cup inayoandaliwa na Baraza la Vyama vya…
Continue Reading....Serengeti Breweries yadhamini pambano la wabunge Vs Wawakilishi
*Pambano kufanyika 9 Desemba kati ya Wabunge na Wawakilishi Na Joachim Mushi KAMPUNI ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) imetangaza udhamini wa pambano la kihistoria la…
Continue Reading....Tanzania yatinga Nusu Fainali Tusker Chalenji
Na Joachim Mushi TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara Kilimanjaro Stars imetinga hatua ya Nusu Fainali baada ya kuifunga timu ya Taifa ya Malawi bao…
Continue Reading....