Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 324

Category: Michezo

Wazimbabwe kuwachezesha Twiga Stars

Posted on: January 20, 2012 - jomushi
Wazimbabwe kuwachezesha Twiga Stars

MECHI ya marudiano kusaka tiketi ya kucheza fainali za Nane za Kombe Afrika kwa Wanawake (AWC) zitakazofanyika Novemba mwaka huu nchini Equatorial Guinea kati ya…

Continue Reading....

ZH Poppe yatoa tiketi kwa waamuzi

Posted on: January 20, 2012 - jomushi
ZH Poppe yatoa tiketi kwa waamuzi

KAMPUNI ya ZH Hope Limited imegharamia tiketi za waamuzi na kamishna atakayesimamia mechi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC)…

Continue Reading....

Ligi Kuu ya Vodacom kuanza Jumamosi

Posted on: January 19, 2012January 19, 2012 - jomushi
Ligi Kuu ya Vodacom kuanza Jumamosi

Na Mwandishi Wetu MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza keshokutwa (Januari 21 mwaka huu) kwa mechi nne.…

Continue Reading....

SBC Tanzania waisaidia Twiga Stars vinywaji

Posted on: January 17, 2012 - jomushi
SBC Tanzania waisaidia Twiga Stars vinywaji

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Taifa ya wanawake Twiga Stars Januari 17 mwaka huu imekabidhiwa msaada wa maji ya kunywa na soda ikiwa ni sehemu…

Continue Reading....

Arsenal yalala, Newcastle yaibuka

Posted on: January 16, 2012January 16, 2012 - jomushi
Arsenal yalala, Newcastle yaibuka

MATUMAINI ya Timu ya Arsenal kusogelea nafasi nne bora za juu za Ligi ya Soka ya Uingereza yamevurugwa na Timu ya Swansea baada ya kuonesha…

Continue Reading....

Dk Shein aipongeza kamati ya Mapinduzi Cup 2012

Posted on: January 15, 2012 - jomushi
Dk Shein aipongeza kamati ya Mapinduzi Cup 2012

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ameipongeza Kamati ya Maandalizi ya Kombe la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari