Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 323

Category: Michezo

Wakala asema Balotelli anaonewa England

Posted on: January 25, 2012 - jomushi
Wakala asema Balotelli anaonewa England

WAKALA wa Mario Balotelli ameonya mshambuliaji huyo anaweza kuachana na kandanda ya England iwapo ataendelea kutotendewa haki katika matukio mbalimbali. Balotelli, anakabiliwa na adhabu ya…

Continue Reading....

TFF yataja viingilio mechi ya Twiga Stars na Namibia

Posted on: January 24, 2012 - jomushi
TFF yataja viingilio mechi ya Twiga Stars na Namibia

KIINGILIO cha chini kwa mechi ya kufuzu kwa fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) kati ya Twiga Stars na Namibia itakayochezwa Jumapili, Januari 29 mwaka…

Continue Reading....

Yanga yatakiwa kumlipa Njoroge sh. mil 17

Posted on: January 24, 2012 - jomushi
Yanga yatakiwa kumlipa Njoroge sh. mil 17

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kupitia kitengo chake cha utatuzi wa migogoro (Dispute Resolution Chamber- DRC) limeagiza klabu ya…

Continue Reading....

Ivory Coast yaiadhibu Angola AFCON

Posted on: January 23, 2012January 24, 2012 - jomushi
Ivory Coast yaiadhibu Angola AFCON

TIMU ya mpira wa Miguu ya Ivory Coast imeanza kampeni ya kuwania Kombe la Mataifa ya Afrika kwa ushindi dhidi ya Sudan walionekana kusumbua. Nahodha…

Continue Reading....

Wabunge kucheza pambano kuchangia Twiga Stars

Posted on: January 23, 2012 - jomushi
Wabunge kucheza pambano kuchangia Twiga Stars

*TFF yaomba kutumia uwanja wa taifa bure WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia timu ya Bunge wameomba kucheza mechi maalumu dhidi…

Continue Reading....

Man City yaendelea kupaa, Man U yaifanyia vibaya Arsenal

Posted on: January 23, 2012 - jomushi
Man City yaendelea kupaa, Man U yaifanyia vibaya Arsenal

MSHAMBULIAJI, Mario Balotelli amejitokeza kuwa kiini cha mgogoro na sababu ya kuipatia ushindi Manchester City ikipiga hatua dhidi ya mshindani wake wa karibu Manchester United.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari