Na Mwandishi Wetu MWAMUZI Israel Mujuni wa Tanzania ameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuchezesha mechi ya marudiano ya raundi ya mchujo…
Continue Reading....Category: Michezo
TFF yasusha viingilio Uwanja wa Chamazi-AZAM
*Simba Vs Villa waingiza mil 30/- SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefanyia marekebisho viingilio vya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom zitakazochezwa katika…
Continue Reading....Zambia na Ivory Coast zatinga nusu fainali
ZAMBIA sasa itacheza na Ghana au Tunisia katika nusu fainali. Zambia ilikuwa timu ya kwanza kujitengea nafasi katika nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya…
Continue Reading....TFF yaomboleza kifo cha GRATIAN MATOVU
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha mwamuzi wa zamani wa kimataifa Gratian Matovu kilichotokea…
Continue Reading....John Terry avuliwa unahodha wa England
CHAMA cha Soka nchini Uingereza kimemvua unahodha mchezaji John Terry wa timu ya Taifa ya England. Chama hicho cha soka kinasema Terry hapaswi kushika unahodha…
Continue Reading....Mtihani wa mawakala wa wachezaji FIFA Machi 29
Na Mwandishi Wetu MTIHANI wa uwakala wa wachezaji (players agent) wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utafanyika Alhamisi ya Machi 29 mwaka…
Continue Reading....