Libreville TIMU ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Zambia maarufu kama ‘Chipolopolo’ imetimiza ahadi iliyoitoa juzi wakati wakiwakumbuka wachezaji wenzao waliokufa kwa ajali ya…
Continue Reading....Category: Michezo
Simba yapigwa faini, Mafisango aonywa
Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Ligi imeagiza mchezaji Patrick Mafisango wa Simba aandikiwe barua ya onyo kutokana na kumsukuma mwamuzi Isihaka Shirikisho baada ya kumuonesha…
Continue Reading....Waamuzi, Kamishna waondolewa Ligi Kuu Vodacom
Na Mwandishi Wetu WAAMUZI watatu na kamishna mmoja wameondolewa kuchezesha na kusimamia mechi za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kutokana na kuonesha upungufu katika uchezeshaji…
Continue Reading....Klabu za Zamalek, Kiyovu Sport zaigomea Yanga na Simba
Na Mwandishi Wetu KLABU za Zamalek ya Misri na Kiyovu Sport zimekataa maombi ya mechi zao za marudiano za Ligi ya Mabingwa na Kombe la…
Continue Reading....Kozi ya makocha angazi pevu yaahirishwa
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeahirisha kozi ya ukocha ngazi pevu (Advanced Level) iliyokuwa ifanyike jijini Dar es Salaam kuanzia…
Continue Reading....Ligi Kuu Vodacom 2011/12, timu 10 kibaruani kesho
LIGI Kuu ya Vodacom (VPL) inaingia raundi ya 17 kesho, Februari 11 mwaka huu kwa mechi tano huku ile ya Kagera Sugar na Mtibwa Sugar…
Continue Reading....