Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 315

Category: Michezo

Makocha Poulsen, Angels kunguruma leo Dar

Posted on: February 28, 2012February 28, 2012 - jomushi
Makocha Poulsen, Angels kunguruma leo Dar

Na Mwandishi Wetu MAKOCHA Jan Poulsen wa Tanzania (Taifa Stars) na Gert Josef Angels wa Msumbiji (Mambas) leo, Februari 28 mwaka huu watakuwa na mkutano…

Continue Reading....

Prime Time Promotions yaingia mkataba na Simba

Posted on: February 26, 2012 - jomushi
Prime Time Promotions yaingia mkataba na Simba

KLABU ya soka ya Simba ina furaha kubwa kuutangazia umma wa Watanzania kwamba imeingia mkataba na kampuni ya Prime Time Promotions/Clouds Media Group unaohusiana na…

Continue Reading....

‘Mambas’ wa Msumbiji kutua Dar leo

Posted on: February 26, 2012 - jomushi
‘Mambas’ wa Msumbiji kutua Dar leo

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Taifa ya Msumbiji (Mambas) itawasili nchini kesho (Februari 26 mwaka huu) kwa ndege ya South African Airways. Ndege hiyo yenye…

Continue Reading....

Yanga yapewa masharti ya mchezo na Zamalek

Posted on: February 26, 2012 - jomushi
Yanga yapewa masharti ya mchezo na Zamalek

*40 pekee watakiwa kwenda uwanjani Na Mwandishi Wetu MSAFARA wa Yanga utakaokuwa uwanjani kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi…

Continue Reading....

Viingilio Stars na Msumbiji

Posted on: February 24, 2012 - jomushi
Viingilio Stars na Msumbiji

KIINGILIO cha chini katika mechi ya mchujo ya Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Msumbiji (Mambas) itakayochezwa Februari 29 mwaka…

Continue Reading....

Kozi ya madaktari wa tiba ya michezo

Posted on: February 24, 2012 - jomushi
Kozi ya madaktari wa tiba ya michezo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeandaa kozi ya awali ya madaktari au wataalamu wa viungo (physiotherapist) kwa klabu za Ligi Kuu na Ligi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari