NAIBU Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara leo, Machi 10 mwaka huu amechangia sh. milioni moja kwenye uzinduzi wa akaunti ya…
Continue Reading....Category: Michezo
Ligi Kuu Vodacom kuendelea, mechi tatu kupigwa wikiend hii
Na Mwandishi Wetu MICHUANO ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaendelea wikiendi hii kwa mechi tatu zitakazokutanisha timu sita kwenye…
Continue Reading....Simba yafanya kweli, yaichapa Kiyovu 2-1
Na Mwandishi Wetu SIMBA jana imeilaza timu ya Kiyovu ya Rwanda mabao mawili kwa moja (2-1). Timu ya Simba ndio iliyokuwa ya kwanza kufungua kitabu…
Continue Reading....Pambano la Stars, Mambas laingiza sh. mil 64
MECHI ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika- AFCON 2013 kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Msumbiji (Mambas) iliyochezwa…
Continue Reading....Yanga Zamalek kucheza saa 12, Simba kuchezeshwa na Wasomali
MECHI ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Zamalek na Yanga itachezwa Machi 3 mwaka huu kwenye Uwanja wa Jeshi jijini Cairo kuanzia…
Continue Reading....