Timu ya Taifa ya Sudan (U20) inawasili leo saa 7.25 mchana (Aprili 19 mwaka huu) kwa ndege ya Ethiopian Airlines namba ET 805 ikiwa na…
Continue Reading....Category: Michezo
TAARIFA KUTOKA TFF JANA
WAGANDA KUCHEZESHA NGORONGORO VS SUDAN Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limewateua waamuzi kutoka Uganda kuchezesha mechi ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye…
Continue Reading....Maximo aibuka Brazil, atoa ushauri kuhusu timu ya Taifa Tanzania
Na Anna Nkinda – Sao Paul, Brazil VILABU vya soka nchini vimeshauriwa kuwa na timu nzuri kuanzia ngazi ya watoto wenye umri wa miaka nane,…
Continue Reading....Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali
Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali Msimamo huo ni kabla ya matokeo ya mechi za Mgambo Shooting vs Polisi Tabora (saa 8.00…
Continue Reading....Prisons, Mlale JKT zagawana pointi
Na Mwandishi Wetu, Morogoro TIMU za Tanzania Prisons ya Mbeya na Mlale JKT ya Ruvuma zimetoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa fainali za…
Continue Reading....Rais Kikwete aitumia rambirambi Yanga
Na Mwandishi Maalumu RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa klabu ya mpira wa miguu ya Young Africans Sports Club (Yanga), Lyod…
Continue Reading....