KWA vile wajumbe kadhaa wa Kamati ya Utendaji ya Yanga akiwemo Mwenyekiti wa kamati hiyo Lloyd Nchunga wamejiuzulu, Kamati ya Uchaguzi ya Yanga imeliandikia barua…
Continue Reading....Category: Michezo
Taifa Stars kupambana na Malawi leo
TIMU za Taifa za Tanzania (Taifa Stars) na Malawi (The Flames) zinapambana leo Mei 26 mwaka huu katika mechi ya kirafiki itakayofanyika Uwanja wa Taifa,…
Continue Reading....Hatimaye Lyod Nchunga wa Yanga ajiuzulu
Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Lyod Nchunga ametangaza kujiuzulu rasmi kwenye nafasi hiyo. Nchunga ametangaza uamuzi huo leo alipokuwa akizungumza na vyombo…
Continue Reading....Didier Drogba athibitisha kuondoka Chelsea
HATIMAYE athibitisha ataondoka Chelsea Mshambulizi Didier Drogba ataihama timu ya Chelsea ya England msimu huu wa joto, baada ya kukichezea klabu kwa muda wa miaka…
Continue Reading....Twiga Stars kwenda Addis Ababa Mei 24
*Pambano lao, Banyana Banyana laingiza mil. 8/- TIMU ya Taifa ya wanawake (Twiga Stars) inatarajia kuondoka nchini Mei 24 mwaka huu kwa ndege ya Ethiopian…
Continue Reading....Mbwana Samata, Ulimwengu waripoti Taifa Stars
WASHAMBULIAJI Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaocheza mpira wa kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wamejiunga na kambi…
Continue Reading....