MKUU wa Mkoa (RC) wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki ameitaka timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuiwakilisha vyema nchi katika mchezo wake…
Continue Reading....Category: Michezo
30 waingia kozi ya kujenga afya ya FIFA
Walimu 18 wa shule za msingi na makocha 12 wa mpira wa miguu wanashiriki kozi ya mpango maalumu wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa…
Continue Reading....Nadal kukutana na Djokovic fainali
BINGWA mtetezi wa taji la Tennis ya mashindano ya kila mwaka ya Ufaransa, Rafael Nadal amefuzu kwa mara ya saba mfululizo kushiriki fainali kwa kumtwanga…
Continue Reading....Afrika ina wachezaji tosha Euro 2012
MASHINDANO ya kombe la Mataifa ya Ulaya, yajulikanayo kama Euro 2012 yameanza nchini Poland na Ukraine. Mashindano haya ni kivutio kwa wachezaji nyota wanaoshiriki Ligi…
Continue Reading....Yono Stanley Kevela kuwania uongozi Yanga
“NDUGU wanahabari na mashabiki wa soka, napenda kuwajulisha kuwa nimechukua fomu mbili za kuwania uongozi ndani ya Klabu yetu ya Yanga, moja ni ya kuwania…
Continue Reading....Gambia yawasili kuikabili stars
TIMU ya Taifa ya Gambia (The Scorpions) imewasili nchini jana (Juni 7 mwaka huu) saa 5.30 usiku kwa ndege ya Kenya Airways tayari kwa ajili…
Continue Reading....