TIMU ya England ya soka imeondolewa katika mashindano ya Euro 2012, baada ya kufungwa na Italia usiku wa Jumapili katika robo fainali, kwa kufungwa magoli…
Continue Reading....Category: Michezo
Timu 20 kucheza ligi Daraja la kwanza
KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeridhia mapendekezo ya Kamati ya Mashindano ya kutaka Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kuwa…
Continue Reading....Mkutano Mkuu wa Dharura TWFA sasa ni Juni 23
Na Mwandishi Wetu MKUTANO Mkuu wa Dharura wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake Tanzania (TWFA) utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukumbi wa…
Continue Reading....Timu ya vijana Mara kudumisha nidhamu Copa cocacola
Na mwandishi wetu Musoma, TIMU ya soka ya Vijana walio na umri chini ya miaka 17 ya Mkoa wa Mara imeondoka leo alfajiri kuelekea Jijini…
Continue Reading....Taifa Stars yafungishwa virago mchujo Kombe la Mataifa ya Afrika
Na Mwandishi Wetu Maputo TAIFA Stars imetolewa kwenye mechi za mchujo za Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kufungwa kwa penalti na wenyeji Msumbiji…
Continue Reading....Ethiopia yawasili kuikabili Twiga Stars
MSAFARA wa watu 25 wa timu ya Taifa ya wanawake ya Ethiopia umewasili leo Juni 14 mwaka huu saa 7 mchana kwa ndege ya Ethiopian…
Continue Reading....