Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 294

Category: Michezo

Mario Baloteli aibeba Italia Uefa Euro 2012

Posted on: June 29, 2012June 29, 2012 - jomushi
Mario Baloteli aibeba Italia Uefa Euro 2012

Hayawi hayawi hatimaye yalikuwa, moto uliwaka usiku wa jana mjini Warsaw kufuatia mchuano mkali baina ya Ujerumani na Italia. Italia ili ndiyo ilikuwa mbabe zaidi…

Continue Reading....

Mwanariadha wa Kenya matatani

Posted on: June 29, 2012 - jomushi
Mwanariadha wa Kenya matatani

POLISI nchini Kenya wamemchukulia hatua mwanariadha mashuhuri Ezekiel Kemboi kwa madai ya kumdunga kisu mwanamke mmoja Jumatano usiku. Kemboi anasifika kwa mbio za mita elfu…

Continue Reading....

Hispania yafuzu kuingia fainali, yainyuka Ureno 4-2

Posted on: June 28, 2012June 28, 2012 - jomushi
Hispania yafuzu kuingia fainali, yainyuka Ureno 4-2

MABINGWA watetezi Uhispania wamefuzu kuingia fainali ya Euro 2012, baada ya kuishinda Ureno magoli 4-2, kupitia mikwaju ya penalti, baada ya muda wa kawaida wa…

Continue Reading....

Dodoma yaitambia Mbeya Copa Cocola-2012

Posted on: June 28, 2012 - jomushi
Dodoma yaitambia Mbeya Copa Cocola-2012

DODODMA imeendeleza wimbi la ushindi kwenye michuano ya Copa Coca-Cola 2012 baada ya leo asubuhi (Juni 27 mwaka huu) kuifunga Mbeya mabao 2-0 katika mchezo…

Continue Reading....

TFF kuwakumbuka wapiga picha mashindano ya COPA COCA-COLA

Posted on: June 27, 2012 - jomushi
TFF kuwakumbuka wapiga picha mashindano ya COPA COCA-COLA

*Ngorongoro Heroes kujipima na Misri, Rwanda SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litawazawadia wapiga picha za magazetini watakaoripoti mashindano ya Copa Coca-Cola 2012 ngazi…

Continue Reading....

TFF yamtaja kocha mpya timu ya vijana

Posted on: June 27, 2012 - jomushi
TFF yamtaja kocha mpya timu ya vijana

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemtambulisha rasmi mbele ya waandishi wa habari kocha mpya wa timu za Taifa za vijana, Jakob Michelsen kutoka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari