Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 249

Category: Michezo

Kocha Kim Poulsen Atangaza Young Taifa Stars

Posted on: April 23, 2013 - jomushi
Kocha Kim Poulsen Atangaza Young Taifa Stars

KOCHA wa Taifa Stars, Kim Poulsen ametangaza timu ya pili ya Taifa (Young Taifa Stars) atakayoitumia kuangalia wachezaji ambao baadaye anaweza kuwajumuisha kwenye timu ya…

Continue Reading....

Rais Tenga Atoa Mipira ya Dola 30,000

Posted on: April 22, 2013 - jomushi
Rais Tenga Atoa Mipira ya Dola 30,000

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga ametoa mipira zaidi ya 1,200 yenye thamani ya dola 30,000 za Marekani kwa vyama…

Continue Reading....

Coastal Union, Azam Kucheza Siku ya Muungano

Posted on: April 22, 2013 - jomushi
Coastal Union, Azam Kucheza Siku ya Muungano

TIMU za Coastal Union ya Tanga na Azam zitapambana Aprili 26 mwaka huu katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) itakayofanyika kwenye Uwanja wa…

Continue Reading....

Ligi ya Mabingwa wa Mikoa Kuanza Mei 12

Posted on: April 19, 2013 - jomushi
Ligi ya Mabingwa wa Mikoa Kuanza Mei 12

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa kutafuta timu tatu zitakazopanda kucheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu ujao chini ya usimamizi wa Shirikisho la Mpira wa…

Continue Reading....

Makocha Azam, FAR Rabat ya Morocco Kuzungumza na Waandishi

Posted on: April 18, 2013 - jomushi
Makocha Azam, FAR Rabat ya Morocco Kuzungumza na Waandishi

MAKOCHA wa timu za Azam, Stewart John Hall na AS FAR Rabat ya Morocco, Abderazzak Khairi watakutana na waandishi wa habari kesho (Aprili 19 mwaka…

Continue Reading....

Ligi Kuu ya Tanzania Bara Kutimua Vumbi Viwanja Vitatu

Posted on: April 16, 2013 - jomushi
Ligi Kuu ya Tanzania Bara Kutimua Vumbi Viwanja Vitatu

LIGI Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaendelea kesho (Aprili 17 mwaka huu) kwenye viwanja vitatu huku vinara wa ligi hiyo Yanga…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari