Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 246

Category: Michezo

Kocha Kim Awataja Wachezaji 26 Watakao Ivaa Morocco

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Kocha Kim Awataja Wachezaji 26 Watakao Ivaa Morocco

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen Mei 16 mwaka huu ametaja kikosi cha wachezaji 26 watakaoingia kambini kujiwinda kwa mechi ya mchujo ya Kombe…

Continue Reading....

Kiingilio Mechi ya Simba na Yanga 5,000/-

Posted on: May 15, 2013 - jomushi
Kiingilio Mechi ya Simba na Yanga 5,000/-

KIINGILIO cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Yanga itakayochezwa Jumamosi (Mei 18 mwaka huu) kitakuwa sh. 5,000.…

Continue Reading....

TFF na Ufafanuzi wa Ligi ya Mabingwa Mikoa (RCL)

Posted on: May 15, 2013 - jomushi
TFF na Ufafanuzi wa Ligi ya Mabingwa Mikoa (RCL)

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) ilianza tarehe 12 Mei 2013 ikishirikisha klabu bingwa za mikoa yote ya Tanzania Bara, isipokuwa mikoa ya Pwani na…

Continue Reading....

Kiluvya United, Manyara Zaondolewa Ligi ya Mabingwa Mikoa

Posted on: May 11, 2013 - jomushi
Kiluvya United, Manyara Zaondolewa Ligi ya Mabingwa Mikoa

WAKATI Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) inaanza kutimua vumbi Mei 12 mwaka huu, timu mbili zinakwenda moja kwa moja raundi inayofuata baada ya mabingwa…

Continue Reading....

Kagera Sugar, Ruvu Shooting Kuumana Ligi Kuu Bara, Simba Mgambo Wavuna Mil 16

Posted on: May 11, 2013 - jomushi
Kagera Sugar, Ruvu Shooting Kuumana Ligi Kuu Bara, Simba Mgambo Wavuna Mil 16

KAGERA Sugar inaikaribisha Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo pekee wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) utakaofanyika Mei 11 mwaka huu kwenye Uwanja wa Katiba…

Continue Reading....

TFF Yampa Siku Saba Mwandishi Dauda Kujieleza

Posted on: May 11, 2013 - jomushi
TFF Yampa Siku Saba Mwandishi Dauda Kujieleza

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemtaka Shaffih Dauda ambaye ni mmiliki wa tovuti ya www.shaffihdauda.com kutoa maelezo kuhusiana na barua ya Shirikisho la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari