Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 245

Category: Michezo

Afrika Kusini Kuamua Mechi ya Taifa Stars Vs Morocco

Posted on: May 23, 2013 - jomushi
Afrika Kusini Kuamua Mechi ya Taifa Stars Vs Morocco

SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limemteua mwamuzi kutoka Afrika Kusini kuchezesha mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia, Kanda ya Afrika kati…

Continue Reading....

14 Kuumana Ligi ya Mabingwa Mikoa

Posted on: May 22, 2013May 22, 2013 - jomushi
14 Kuumana Ligi ya Mabingwa Mikoa

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) kuwania nafasi tatu za kucheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu ujao inaingia raundi ya pili wikiendi hii kwa…

Continue Reading....

Pambano la Yanga, Simba Laingiza Mil 500/-

Posted on: May 19, 2013 - jomushi
Pambano la Yanga, Simba Laingiza Mil 500/-

PAMBANO la watani wa jadi Simba na Yanga la Ligi Kuu ya Vodacom lililochezwa jana (Mei 18 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es…

Continue Reading....

Yanga Yauwa Simba, Yaichapa 2-0 Uwanja wa Taifa

Posted on: May 18, 2013 - jomushi
Yanga Yauwa Simba, Yaichapa 2-0 Uwanja wa Taifa

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam imekamilisha mchezo wake wa mwisho wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa kuibanjua Timu ya…

Continue Reading....

Pazia Ligi Kuu Vodacom Kufungwa Mei 18

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Pazia Ligi Kuu Vodacom Kufungwa Mei 18

LIGI KUU ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu (2012/2013) inafikia tamati kesho (Mei 18 mwaka huu) kwa timu zote 14 kupambana…

Continue Reading....

Taifa Stars Yajiondoa Michuano ya COSAFA

Posted on: May 17, 2013May 17, 2013 - jomushi
Taifa Stars Yajiondoa Michuano ya COSAFA

TANZANIA (Taifa Stars) imejitoa kwenye michuano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA) itakayofanyika nchini Zambia kuanzia Julai 2-26 mwaka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari