SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Bernard Luanda kuongoza Kamati ya Rufani ya Uchaguzi kufuatia mabadiliko ya…
Continue Reading....Category: Michezo
TFF Yavuna Milioni 113.3 Mechi ya Taifa Stars na The Cranes
MECHI ya kwanza mchujo ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na…
Continue Reading....Mkutano Mkuu TFF Wapitisha Marekebisho ya Katiba, Taifa Stars Yalala Nyumbani..!
MKUTANO Mkuu Maalumu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) uliofanyika leo (Julai 13 mwaka huu) umepitisha marekebisho ya Katiba yake, hivyo mchakato wa uchaguzi…
Continue Reading....Leodegar Tenga Asema Taifa Stars Imeiva Kupambana
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amesema kikosi cha Taifa Stars sasa kina uwezo wa kushindana katika mashindano yoyote, kwani…
Continue Reading....Uganda Cranes Yawasili Kuikabili Stars
TIMU ya Taifa ya Uganda (The Cranes) imewasili Dar es Salaam leo tayari kwa mechi ya kwanza ya mchujo kusaka tiketi ya Fainali za Afrika…
Continue Reading....Timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ Kuwasili Kesho
TIMU ya Taifa ya Uganda (The Cranes) inatarajiwa kuwasili nchini kesho (Julai 11 mwaka huu) tayari kwa mechi ya kwanza ya mchujo kusaka tiketi ya…
Continue Reading....