Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 235

Category: Michezo

Wadau wa Soka Songea Kujadili Uwezekano wa Majimaji FC Kurejea Ligi Kuu

Posted on: July 31, 2013 - jomushi
Wadau wa Soka Songea Kujadili Uwezekano wa Majimaji FC Kurejea Ligi Kuu

*Klabu kuendeshwa kikampuni na hisa kuuzwa KAMPUNI ya Tanzania Mwandi ikishirikiana na Majimaji FC, imeandaa mkutano wa wadau wote wa soka mkoani Ruvuma chini ya…

Continue Reading....

Taifa Stars Yaangukia Pua CHAN, Yachapwa 3-1 Yatolewa

Posted on: July 27, 2013 - jomushi
Taifa Stars Yaangukia Pua CHAN, Yachapwa 3-1 Yatolewa

TANZANIA (Taifa Stars) imeshindwa kufuzu Fainali za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) kwa mara ya pili mfululizo baada ya Julai 27 mwaka huu kufungwa…

Continue Reading....

Taifa Stars Kuishambulia Uganda Mwanzo Mwisho

Posted on: July 26, 2013 - jomushi
Taifa Stars Kuishambulia Uganda Mwanzo Mwisho

MOJA ya mikakati ya Taifa Stars kwenye mechi ya kesho (Julai 27 mwaka huu) dhidi ya Uganda kuwania kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Tatu…

Continue Reading....

STARS Karata ya Mwisho kwa Cranes

Posted on: July 25, 2013 - jomushi
STARS Karata ya Mwisho kwa Cranes

TAIFA STARS imewasili salama hapa Kampala tayari kwa mechi ya marudiano ya mchujo dhidi ya Uganda (The Cranes) kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Tatu…

Continue Reading....

JK ‘Agongana’ na Taifa Stars Uwanja wa Ndege Mwanza

Posted on: July 24, 2013July 24, 2013 - jomushi
JK ‘Agongana’ na Taifa Stars Uwanja wa Ndege Mwanza

Continue Reading....

Kim Poulsen Atamba Kuisambaratisha Uganda

Posted on: July 23, 2013 - jomushi
Kim Poulsen Atamba Kuisambaratisha Uganda

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen amesema kikosi chake kimejiandaa kuikabili Uganda kwenye mechi ya marudiano ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari