Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 232

Category: Michezo

JK Amtumia Rambirambi Dk. Mukangara Msiba wa Mzee Kitenge

Posted on: August 22, 2013 - jomushi
JK Amtumia Rambirambi Dk. Mukangara Msiba wa Mzee Kitenge

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara kuomboleza…

Continue Reading....

Uchaguzi TFF, 58 Waomba Kuchaguliwa

Posted on: August 21, 2013 - jomushi
Uchaguzi TFF, 58 Waomba Kuchaguliwa

JUMLA ya wanamichezo 58 wamerusha fomu kuomba kuteuliwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na ule…

Continue Reading....

Kocha Kim Poulse Awaita 24 Kuivaa Gambia

Posted on: August 21, 2013 - jomushi
Kocha Kim Poulse Awaita 24 Kuivaa Gambia

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen ameita kambini wachezaji 24 kujiandaa kwa mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Gambia itakayochezwa Septemba…

Continue Reading....

U20 Wanawake Kuanza Raundi ya Kwanza Kombe la Dunia

Posted on: August 19, 2013August 19, 2013 - jomushi
U20 Wanawake Kuanza Raundi ya Kwanza Kombe la Dunia

TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ya umri chini ya miaka 20 inaanzia moja kwa moja raundi ya kwanza Kanda ya Afrika kutafuta tiketi…

Continue Reading....

TFF Yawataja Waliochukua Fomu Kuwania Nafasi Anuai, Azam, Yanga Zavuna Mil 208

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
TFF Yawataja Waliochukua Fomu Kuwania Nafasi Anuai, Azam, Yanga Zavuna Mil 208

WANAMICHEZO 25 wamechukua fomu kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaotarajiwa kufanyika Oktoba 27 mwaka huu.…

Continue Reading....

Masikini Mrisho Ngasa, Kamati TFF Yamhukumu Vikali

Posted on: August 16, 2013 - jomushi
Masikini Mrisho Ngasa, Kamati TFF Yamhukumu Vikali

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitia usajili wa wachezaji wa klabu za Ligi Kuu ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari