Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 230

Category: Michezo

Eliud Mvella Ajiondoa Mchakato wa uchaguzi TFF

Posted on: September 12, 2013 - jomushi
Eliud Mvella Ajiondoa Mchakato wa uchaguzi TFF

MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Eliud Mvella amejiondoa kwenye mchakato wa uchaguzi uliopangwa kufanyika Oktoba 27 mwaka…

Continue Reading....

TFF Yamuadhibu kocha Coastal Union, Yawafungia Waamuzi Pia

Posted on: September 11, 2013 - jomushi
TFF Yamuadhibu kocha Coastal Union, Yawafungia Waamuzi Pia

PONDAMALI AFUNGIWA MIEZI 3, FAINI MILIONI 1/- KAMATI ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imempiga faini ya sh. milioni moja na…

Continue Reading....

Taifa Stars Yalala Tena Gambia, Yapigwa 2-0

Posted on: September 8, 2013 - jomushi
Taifa Stars Yalala Tena Gambia, Yapigwa 2-0

TAIFA Stars imemaliza vibaya mechi za mchujo za Kombe la Dunia, Kanda ya Afrika baada ya kufungwa na Gambia huku Kocha Kim Poulsen akisema timu…

Continue Reading....

Taifa Stars Yatua Gambia Kukamilisha Ratiba

Posted on: September 6, 2013 - jomushi
Taifa Stars Yatua Gambia Kukamilisha Ratiba

KIKOSI cha Taifa Stars kimewasili salama hapa Banjul, Gambia tayari kwa mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji itakayochezwa Septemba 7 mwaka…

Continue Reading....

Matokeo Mechi za Copa Coca-Cola Septemba 2

Posted on: September 3, 2013 - jomushi
Matokeo Mechi za Copa Coca-Cola Septemba 2

TIMU za Ilala na Kaskazini Unguja zimetoka sare ya mabao 3-3 katika moja ya mechi za ufunguzi za michuano ya Copa Coca-Cola kwa vijana wenye…

Continue Reading....

Mechi ya Yanga, Coastal Union Yaingiza Mil. 152

Posted on: August 29, 2013 - jomushi
Mechi ya Yanga, Coastal Union Yaingiza Mil. 152

MECHI ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Coastal Union iliyochezwa jana (Agosti 28 mwaka huu) katika Uwanja wa Taifa, Dar es…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari