Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 211

Category: Michezo

Malinzi Aunda Kamati ya Miaka 50 ya FIFA, Aitakia Heri Yanga Vs Al Ahly

Posted on: February 28, 2014April 16, 2014 - jomushi
Malinzi Aunda Kamati ya Miaka 50 ya FIFA, Aitakia Heri Yanga Vs Al Ahly

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameunda kamati ya watu tisa kuratibu maadhimisho ya miaka 50 tangu TFF ilipojiunga na…

Continue Reading....

Wagombea 27 Warejesha Fomu Uchaguzi TASWA

Posted on: February 27, 2014 - jomushi
Wagombea 27 Warejesha Fomu Uchaguzi TASWA

WAOMBAJI 27 kati ya 28 wamerejesha fomu kuomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa…

Continue Reading....

TFF Yamtema Poulsen, Wavunja Mkataba, Yanga Waondolewa Taifa Stars

Posted on: February 27, 2014 - jomushi
TFF Yamtema Poulsen, Wavunja Mkataba, Yanga Waondolewa Taifa Stars

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote…

Continue Reading....

Twiga Stars Imewiva, Shepolopolo Yawasili Dar

Posted on: February 27, 2014 - jomushi
Twiga Stars Imewiva, Shepolopolo Yawasili Dar

WAKATI Zambia (Shepolopolo) imewasili leo Februari 27 mwaka huu, Twiga Stars imesema mazoezi yamewaingia barabara tayari kwa mechi dhidi ya Wazambia hao itakayochezwa kesho (Februari…

Continue Reading....

TFF Yataka Taarifa za Klabu Zote Tanzania, Ligi Kuu…!

Posted on: February 25, 2014 - jomushi
TFF Yataka Taarifa za Klabu Zote Tanzania, Ligi Kuu…!

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zimewaagiza wanachama wake- vyama vya mpira wa miguu vya mikoa kuwapatia orodha ya klabu zote za mpira wa…

Continue Reading....

TFF Yawaita 22 Kuunda Kikosi Kuikabili Namibia

Posted on: February 25, 2014 - jomushi
TFF Yawaita 22 Kuunda Kikosi Kuikabili Namibia

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA dhidi ya Namibia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari