Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 206

Category: Michezo

Timu ya Watoto wa Mitaani Tanzania Yanyanyasa Brazil, Ngorongoro Heroes Yaahidi..!

Posted on: April 2, 2014 - jomushi
Timu ya Watoto wa Mitaani Tanzania Yanyanyasa Brazil, Ngorongoro Heroes Yaahidi..!

TIMU ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania kutoka Kituo cha Mwanza inaendelea vizuri katika mashindano ya Kombe la Dunia kwa Watoto wa Mitaani yanayoendelea Rio…

Continue Reading....

Ngorongoro Heroes Kwenda Nairobi, Kenya

Posted on: April 2, 2014 - jomushi
Ngorongoro Heroes Kwenda Nairobi, Kenya

KIKOSI cha watu 27 wakiwemo wachezaji na benchi la ufundi cha timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) kinatarajia…

Continue Reading....

Liverpool inaweza kuwa bingwa, usibishe sana!

Posted on: April 1, 2014April 1, 2014 - admin
Post Tags: Ligi Kuu ya Uingereza, liverpool
Liverpool inaweza kuwa bingwa, usibishe sana!

BAADA ya kuichapa Tottenham mabao 4-0 juzi usiku kwenye Uwanja wa Anfield, maneno yametanda duniani kote kwamba huenda huu ni msimu wa Liverpool. Yoyote atakayesema…

Continue Reading....

WAZEE: Moyes adai kikosi cha Man United kimejaa wazee

Posted on: April 1, 2014April 16, 2014 - admin
Post Tags: Manchester United
WAZEE: Moyes adai kikosi cha Man United kimejaa wazee

KOCHA, David Moyes amesema hata Sir Alex Ferguson asingefanya kitu kwenye kikosi cha sasa cha Manchester United kutokana na wachezaji wengi wazee. Mabingwa hao watetezi…

Continue Reading....

Taarifa Mbalimbali za TFF Machi 30, 2014

Posted on: March 31, 2014April 16, 2014 - jomushi
Taarifa Mbalimbali za TFF Machi 30, 2014

Taarifa Mbalimbali za TFF Machi 30, 2014

Continue Reading....

Liverpool yaishusha Chelsea

Posted on: March 31, 2014April 16, 2014 - admin
Post Tags: chelsea, Ligi Kuu ya Uingereza, liverpool
Liverpool yaishusha Chelsea

LIVERPOOL imeiporomosha Chelsea kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu England baada ya jana Jumapili kuichapa Tottenham Hotspur mabao 4-0 uwanjani Anfield na kuweka pengo la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari