Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 201

Category: Michezo

Wachezaji wa Kimataifa wa Tanzania Kuwasili..!

Posted on: May 15, 2014 - jomushi
Wachezaji wa Kimataifa wa Tanzania Kuwasili..!

  WACHEZAJI wa kimataifa wa Tanzania wanaochezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanatarajiwa kuwasili Jumamosi mchana…

Continue Reading....

Michael Wambura Achukua Fomu Kugombea Uenyekiti Simba

Posted on: May 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Uenyekiti Simba
Michael Wambura Achukua Fomu Kugombea Uenyekiti Simba

BAADA ya ‘memba’ wa kundi la Friends Of Simba (F.O.S), Evans Elieza Aveva jana kuchukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Simba SC, hasimu mkubwa wa…

Continue Reading....

Mchezaji wa Soka Marekani Ajitangaza Shoga

Posted on: May 11, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mchezaji Soka Ajitangaza Shoga
Mchezaji wa Soka Marekani Ajitangaza Shoga

MCHEZAJI mmoja wa timu ya mpira wa miguu ya nchini Marekani, National Footbal League (NFL), Michael Sam amejitangaza kuwa yeye ni shoga. Sam anakuwa ni…

Continue Reading....

Michuano ya RCL Kutimua Vumbi Vituo Vitatu

Posted on: May 10, 2014 - jomushi
Post Tags: Michuano ya RCL
Michuano ya RCL Kutimua Vumbi Vituo Vitatu

MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) inayoshirikisha timu 27 inaanza kutimua vumbi kesho (Mei 10 mwaka huu) katika vituo vitatu vya Morogoro, Mbeya…

Continue Reading....

Flying Eagles Yatua Dar, Kiingilio ni 2,000/-

Posted on: May 8, 2014 - jomushi
Flying Eagles Yatua Dar, Kiingilio ni 2,000/-

TIMU ya Nigeria (Flying Eagles) imewasili nchini kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20 dhidi ya…

Continue Reading....

Bomu Lalipuka, Lajeruhi Kanisani

Posted on: May 7, 2014May 7, 2014 - jomushi
Post Tags: Bomu Kanisani, featured
Bomu Lalipuka, Lajeruhi Kanisani

MTU mmoja amejeruhiwa baada ya kulipukiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Ziwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari