Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 194

Category: Michezo

TFF Yaandaa Futari kwa Wadau wa Michezo

Posted on: July 16, 2014 - jomushi
Post Tags: TFF Yaandaa Futari
TFF Yaandaa Futari kwa Wadau wa Michezo

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameandaa futari kesho Julai 17 mwaka huu kwa wadau mbalimbali wa mpira wa miguu.…

Continue Reading....

Afrika Kusini Watua Dar Kuivaa Serengeti Boys

Posted on: July 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Afrika Kusini Watua Dar
Afrika Kusini Watua Dar Kuivaa Serengeti Boys

AFRIKA Kusini (Amajimbos) imewasili nchini kuikabili Tanzania (Serengeti Boys) katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri…

Continue Reading....

Tanzania Yaipongeza Ujerumani Kutwaa Kombe la Dunia

Posted on: July 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Tanzania Yaipongeza Ujerumani
Tanzania Yaipongeza Ujerumani Kutwaa Kombe la Dunia

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Ujerumani kwa kutwaa Kombe la Dunia mwaka huu. Rais Kikwete ametoa pongezi hizo kwa Balozi mpya wa Shirikisho la Jamhuri…

Continue Reading....

FIFA Kuwanoa Waamuzi 3o Dar, Waamuzi Mchezo wa Serengeti Boys Watua

Posted on: July 15, 2014 - jomushi
FIFA Kuwanoa Waamuzi 3o Dar, Waamuzi Mchezo wa Serengeti Boys Watua

SEMINA na mtihani wa utimamu wa mwili (physical fitness test) kwa waamuzi wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) na baadhi ya wale…

Continue Reading....

Ulimwengu, Samata Kuongeza Nguvu Taifa Stars

Posted on: July 14, 2014 - jomushi
Ulimwengu, Samata Kuongeza Nguvu Taifa Stars

WASHAMBULIAJI Thomas Ulimwengu na Mbwana Samata wa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanawasili nchini keshokutwa alfajiri (Julai 16 mwaka…

Continue Reading....

Ujerumani Mabingwa Kombe la Dunia 2014

Posted on: July 14, 2014July 14, 2014 - jomushi
Ujerumani Mabingwa Kombe la Dunia 2014

TIMU ya Taifa ya Ujerumani imetwaa kombe la dunia. Ujerumani imetwaa kombe hilo jana baada ya kuifunga timu ya Taifa ya Argetina 1-0. Mchezaji wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari