Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 192

Category: Michezo

Basi la TFF Lakamatwa kwa Deni, Ebola Yasimamisha Mechi za CUF

Posted on: August 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Basi la TFF Lakamatwa kwa Deni, featured
Basi la TFF Lakamatwa kwa Deni, Ebola Yasimamisha Mechi za CUF

BASI la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limekamatwa na madalali kwa amri ya mahakama kutokana na deni la sh milioni 140 ambalo tunadaiwa…

Continue Reading....

TFF Yasema Haitambui Mabadiliko ya Uongozi Coastal Union

Posted on: August 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Mabadiliko ya Uongozi Coastal Union
TFF Yasema Haitambui Mabadiliko ya Uongozi Coastal Union

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) halitambui mabadiliko ya uongozi ndani ya Coastal Union yanayodaiwa kufanywa na mkutano wa wanachama wa klabu hiyo uliofanyika…

Continue Reading....

Que Bac Mabingwa Mbagala Cup, Watwaa Mbuzi na Jezi

Posted on: August 10, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Que Bac Mabingwa Mbagala Cup
Que Bac Mabingwa Mbagala Cup, Watwaa Mbuzi na Jezi

TIMU ya Vijana ya Mpira wa Miguu ya Que Bac ya Mbagala Kipati jijini Dar es Salaam jana imeibuka bingwa wa Mashindano ya Mbagala Cup…

Continue Reading....

Maofisa wa FIFA Kutua Tanzania Kukagua Soka

Posted on: August 9, 2014 - jomushi
Post Tags: Maofisa wa FIFA Kutua Tanzania
Maofisa wa FIFA Kutua Tanzania Kukagua Soka

MAOFISA wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) wanawasili nchini kesho (Agosti 10 mwaka huu) kuangalia jinsi mchezo huo unavyoondeshwa nchini. Ujumbe huo…

Continue Reading....

CCM Wakwamisha Ukarabati wa Kisasa Uwanja wa Namfua Singida

Posted on: August 7, 2014 - jomushi
Post Tags: CCM Wakwamisha Ukarabati wa Kisasa Uwanja, featured
CCM Wakwamisha Ukarabati wa Kisasa Uwanja wa Namfua Singida

Katibu wa CCM Mkoa wa Singida Naomi Kapambala aaizungumza na waanndishi wa habari juu ya ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo. Na Hillary…

Continue Reading....

Rambirambi Msiba wa Makamu wa Rais FIFA

Posted on: August 5, 2014 - jomushi
Rambirambi Msiba wa Makamu wa Rais FIFA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA),…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari