Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 15

Category: Michezo

Barcelona Yaanza Vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya

Posted on: September 14, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Yaanza Vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya

Celtic walipokezwa kichapo kibaya zaidi katika mashindano ya Ulaya Jumanne usiku baada ya kuchapwa mabao 7-0 na Barcelona uwanjani Camp Nou. Mshambuliaji Lionel Messi, raia…

Continue Reading....

Semina Kubwa ya Mchezo wa Karate Yaanza Jijini Dar

Posted on: September 12, 2016 - jomushi
Semina Kubwa ya Mchezo wa Karate Yaanza Jijini Dar

Anafundisha kwa mifano! Shihan Okuma akishambuliwa na Jerome Sensei kama sehemu ya maelekezo katika semina hiyo Na Daniel Mbega SEMINA kubwa ya Shotokan Karate kwa…

Continue Reading....

Timu za Taswa SC Zatamba Bonanza la Waandishi wa Habari Arusha

Posted on: September 12, 2016 - jomushi
Timu za Taswa SC Zatamba Bonanza la Waandishi wa Habari Arusha

  Nahodha wa timu ya Netiboli ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini, Tanzania Sports Writers Association Sports Club (Taswa SC)Zuhura Abdulnoor na mchezaji mkongwe wa…

Continue Reading....

Kaseja Akumbukwa Soka la Ufukweni

Posted on: September 12, 2016 - Yohana Chance
Kaseja Akumbukwa Soka la Ufukweni

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Ufukweni, John Mwansasu amemuita Kipa wa Mbeya City ya Mbeya, Juma Kaseja Juma kuongeza…

Continue Reading....

Ratiba ya Ligi Daraja la Pili Sasa Hadharani

Posted on: September 12, 2016 - Yohana Chance
Ratiba ya Ligi Daraja la Pili Sasa Hadharani

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa orodha ya makundi manne na timu zitakazoshiriki Ligi Daraja la Poli ((SDL) inayotarajiwa kuanza baadaye, mwaka huu.…

Continue Reading....

Simba na Azam Kukutana Septemba 21

Posted on: September 12, 2016 - Yohana Chance
Simba na Azam Kukutana Septemba 21

Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kati ya Azam FC na Simba ya Dar es Salaam, utafanyika Jumatano Septemba 21, 2016 badala…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari