Tshisekedi na ndoto za Urais-DRC

Kiongozi wa upinzani Etienne Tshisekedi amejiapisha mwenyewe nyumbani kwake baada ya kuzuiliwa kutoka nyumbani. Majeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameziba njia ya kwenda kwenye uwanja wa michezo ambapo kiongozi mkuu wa upinzani alipanga kujiapisha. Etienne Tshisekedi amekataa kukubaliana na ushindi rasmi wa Rais Joseph Kabila katika uchaguzi uliofanyika Novemba. Mwandishi wa BBC Thomas Hubert kwenye mji mkuu, Kinshasa …

Vijana wa Sudan Kusini ‘Watekwa Nyara’

KUMEKUWA na wasiwasi kuwa huenda raia wa Sudan Kusini wanaoishi Mjini Khartoum, Jamhuri ya Sudan wanatekwa nyara na makundi ya wapiganaji, zoezi linalodaiwa kuanza hivi karibuni. Inadaiwa baadhi ya makundi yenye silaha kutoka Sudan Kusini yameweka kambi mjini Khartoum na kuendeleza maasi dhidi ya serikali ya Sudan Kusini, ikiwemo utekaji. Taarifa zaidi kutoka nchini humo zinasema Serikali ya Sudan imeshutumiwa …

JE, WATAKA KUWASAIDIA WATANZANIA WENZETU WALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO YA JIJI LA DAR ES SALAAM?

Ungana na Tanzania Professionals Network (TPN) kufanya hivyo kwa kuwasaidia walioathirika na mvua DSM kipindi hiki cha Siku Kuu za mwisho wa mwaka. Naomba nichukue fursa hii kuwaomba wote wenye nia ya kuchangia waliothirika na maafa haya basi wawasiliane na TPN Staff Miss. Anna Machanga machangaanna@yahoo.com, 0652 945422; na Bw. ASED KIPEPE: sdkipepe@gmail.com, 0716 898685. Michango inayopokelewa ni fedha taslimu …

Kabila aapishwa Kinshasa, ulinzi mkali wawekwa

JESHI la Congo (DRC) limesambaza vifaru maeneo yote jijini Kinshasa ikiwa ni hatua ya kujihami na vurugu zozote ambazo zingejitokeza katika hafla ya kuapishwa kwa Rais Joseph Kabila kufuatia Uchaguzi wenye utata uliofanywa mwezi uliopita. Hata hivyo ni viongozi wachache tu wa mataifa ya Afrika wameahidi kuhudhuria; na waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ubelgiji aliyekuwa amepanga kuhudhuria sherehe hizo …

Jeshi la Marekani laondoka Iraq

WANAJESHI wa mwisho wa Marekani nchini Iraq wameondoka kabla ya siku ya mwisho wa mwaka 2011, ambao ndio muda uliokubaliwa baina ya Iraq na Marekani jeshi hilo kuondoka. Taarifa zaidi kutoka Iraq zinasema gari la jeshi la mwisho lilivuka mpaka na kuingia Kuwait asubuhi mapema leo, na kumaliza vita vya Iraq vya karibu miaka 9. Msafara wa mwisho wa matingatinga …

ICC yasema mauaji ya Gadaffi ni uhalifu

*Yaanza kuwasaka waliohusika wahukumiwe KIFO cha aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi ‘kimezua utata’ na kudaiwa kuwa waliohusika kumuua wamefanya uhalifu wa kivita, amesema Kiongozi wa Mkuu wa Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa kuhusu kesi za jinai, Luis Moreno-Ocampo. Aidha Moreno-Ocampo amesema ICC imeanza kulishuku Baraza la Mseto la Libya (NTC) kuhusiana na uhalifu huo. Kanali Gaddafi aliuawa tarehe 20 …