Raila Odinga ‘aitisha’ mgomo wa wafuasi kupinga matokeo ya uchaguzi

KINARA wa muungano upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amewashauri wafuasi wake kususia kazi siku ya Jumatatu kama njia ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliofanyikia Jumanne iliyopita. Akihutubia wafuasi wake mtaani Kibera, Nairobi kwa mara ya kwanza kabisa tangu kutangazwa matokeo, ambapo Rais Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi, Bw Odinga amedai kuwa serikali ilikiwa imepanga kuwaua wafuasi wa upinzani kabla ya kutangazwa …

Paul Kagame Ashinda Uchaguzi kwa Asilimia 98.8

RAIS wa Rwanda Paul Kagame amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa wiki iliopita na tume ya uchaguzi nchini humo kulingana na habari zilizotolewa. Taarifa zinasema kwamba tume hiyo ilimuongezea rais Kagame asilimia ya kura alizopata kutoka 98.63, ikiwa ni takwimu zilizotangazwa hapo awali hadi asilimia 98.79. Katika uchaguzi huo Kagame alichuana na wapinzani wawili, ambapo hakuna hata mmoja wao aliyefanikiwa …

Odinga Ayapinga Matokeo ya Urais Yanayoendelea Kutangazwa Kenya

  MGOMBEA urais wa muungano wa upinzani nchini Kenya National Super Alliance (Nasa) Raila Odinga amepinga matokeo ambayo yanaendelea kutangazwa na tume ya uchaguzi nchini humo, IEBC. Raila Odinga ametoa kauli hiyo usiku wa kuamkia leo akizungumza na wanahabari. Bw Odinga amesema tume hiyo imekuwa ikitangaza matokeo kwenye tovuti yake bila kufuata utaratibu unaofaa. Aliongeza kuwa kabla ya matokeo yoyote …

TAASISI ZA KIFEDHA ZASHAURIWA KUWA NA MASHARTI NAFUU YA UTOAJI MIKOPO

MKUU wa Mkoa wa Lindi Mhe Godfrey Zambi akinunua moja ya mkoba uliotengenezwa na kikundi cha Jauki kwenye banda la Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa mara baada ya kutembelea banda hilo wakati wa Maonesho ya 24 ya kilimo na sherehe za Nanenane katika Viwanja vya Ngongo nje kidogo ya Manispaa ya Lindi. Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Godfrey Zambi akimtazama mnyama aina ya kakakuona wakati …

Israel Yaweka Kamera za Ulinzi eneo Takatifu Jerusalem

  ISRAEL imeweka kamera eneo la kuingilia katika uzio wa Msikiti wa Al-Aqsa katika Mji mkongwe wa Jeruslem. Hatua hiyo imechukuliea wakati mvutano mkubwa kuhusiana na hatua za usalama kwenye eneo hilo, ambalo waislamu wanaliita Haram Al-Sharif na wayahudi wanaita Temple Mount. Waumini wa Palestina wamepinga vikali Israil kuweka mitambo ya kun’gamua kama mtu amebeba kitu cha chuma, baada ya …

Bunge la Marekani Laridhia Vikwazo Vipya Kuiadhibu Urusi

VIONGOZI kutoka vyama vyote katika Bunge la Marekani wamekubaliana kuhusu sheria ambayo inaruhusu vikwazo vipya kuiadhibu Urusi kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani. Sheria hiyo pia itapunguza uwezo wa Rais Donald Trump wa kuiondolea Urusi vikwazo. Kipindi cha bwana Trump ofisini kimekumbwa na madai kuwa Urusi ilisaidia kushawishi uchaguzi wa mwaka uliopita. Urusi inakana kutenda lolote baya la uchunguzi kadha ambao …