Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Burudani
  • Page 179

Category: Burudani

Cheka na Maugo waoneshwa gari watakaloligombea

Posted on: April 23, 2012 - jomushi
Cheka na Maugo waoneshwa gari watakaloligombea

Na Mwandishi Wetu WAANDAAJI wa pambano la ubingwa wa IBF kati ya Francis Cheka na Mada Maugo leo wameoneshwa rasmi gari watakalolishindania ifikapo Aprili 28…

Continue Reading....

Mama Kipingu atembelea Timu ya ngumi ya Taifa

Posted on: April 22, 2012 - jomushi
Mama Kipingu atembelea Timu ya ngumi ya Taifa

Na Mwandishi Wetu, Kihaba Pwani MWAKILISHI wa Wanawake na Maendeleo ya Vijana, Ajira wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Zuwena Kibena’ Mama Kanari…

Continue Reading....

Ngoma Africa Band watoka na Uhuru wa Habari

Posted on: April 16, 2012April 16, 2012 - jomushi
Ngoma Africa Band watoka na Uhuru wa Habari

KWA kawaida wanahabari na vyombo vyao ndio wanarusha hewani habari za matukio mbalimbali pamoja wasanii na burudani zao kwa jamii, lakini bendi maarufu Ngoma Africa…

Continue Reading....

Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Posted on: April 16, 2012April 16, 2012 - jomushi
Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Na Peter Mwenda MAMA Mzazi wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba amewataka wasanii wanachama wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) kuendeleza ushirikiano…

Continue Reading....

Super ‘D’ aanzisha programu kutafuta mabondia Bora

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Super ‘D’ aanzisha programu kutafuta mabondia Bora

Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Kambi ya Ngumi ya Mkoa wa Ilala Kimichezo, Rajabu Mhamila, ‘Super D’, ameanzisha programu maalumu ya kuwafanyisha mazoezi mazito mabondia…

Continue Reading....

Diamond ang’ara tena Tuzo za Kili 2012

Posted on: April 14, 2012October 15, 2013 - jomushi
Diamond ang’ara tena Tuzo za Kili 2012

MWANAMUZIKI nyota wa muziki wa Kizazi kipya, Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond ameibuka tena kinara wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) baada…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari