Na Mwandishi Wetu WAANDAAJI wa pambano la ubingwa wa IBF kati ya Francis Cheka na Mada Maugo leo wameoneshwa rasmi gari watakalolishindania ifikapo Aprili 28…
Continue Reading....Category: Burudani
Mama Kipingu atembelea Timu ya ngumi ya Taifa
Na Mwandishi Wetu, Kihaba Pwani MWAKILISHI wa Wanawake na Maendeleo ya Vijana, Ajira wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Zuwena Kibena’ Mama Kanari…
Continue Reading....Ngoma Africa Band watoka na Uhuru wa Habari
KWA kawaida wanahabari na vyombo vyao ndio wanarusha hewani habari za matukio mbalimbali pamoja wasanii na burudani zao kwa jamii, lakini bendi maarufu Ngoma Africa…
Continue Reading....Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA
Na Peter Mwenda MAMA Mzazi wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba amewataka wasanii wanachama wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) kuendeleza ushirikiano…
Continue Reading....Super ‘D’ aanzisha programu kutafuta mabondia Bora
Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Kambi ya Ngumi ya Mkoa wa Ilala Kimichezo, Rajabu Mhamila, ‘Super D’, ameanzisha programu maalumu ya kuwafanyisha mazoezi mazito mabondia…
Continue Reading....Diamond ang’ara tena Tuzo za Kili 2012
MWANAMUZIKI nyota wa muziki wa Kizazi kipya, Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond ameibuka tena kinara wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) baada…
Continue Reading....