Timu ya Taifa ya wanawake (Twiga Stars) inatarajia kucheza mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini (Banyana Banyana) itakayofanyika Mei 20 mwaka huu Uwanja…
Continue Reading....Category: Burudani
Miss East Africa 2012; Ethiopia yatoa mshiriki
WAREMBO watakaoziwakilisha nchi zao katika mashindano ya Miss East Africa mwaka huu wanaendelea kupatikana kutoka katika nchi mbalimbali zinazoshiriki mashindano hayo. Mrembo mwingine aliyeingia fainali…
Continue Reading....Manchester City yarudisha heshma Ligi ya England
Manchester City ikifunga mabao mawili zikiwa zimesalia dakika mbili za nyongeza mpira kumalizika, wamefanikiwa kuunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya Kandanda ya England kwa kuwalaza…
Continue Reading....mashindano ya Pool vyuo vya Dodoma yaendelea
Mchezaji wa Chuo Kikuub cha UDOM ,Justine Oresther akipiga mpira wakati wa mashindano ya mchezo wa pool kwa vyuo vikuu vya Dodoma michezo hiyo inadhaminiwa…
Continue Reading....Wanamasumbwi waguswa kifo cha Rachel Mwiligwa
KAMPUNI ya Big Right Promotion kupitia kwa Mkurugenzi wake Ibrahim Kamwe imepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mhariri wa Michezo wa gazeti la Mtanzania,…
Continue Reading....