FERNANDO Torres alifanikiwa kutumbukiza magoli mawili wavuni katika mechi ambayo Uhispania kwa urahisi ilifanikiwa kuilazimisha Jamhuri ya Ireland kukusanya virago na kuondoka katika mashindano ya…
Continue Reading....Category: Burudani
Waamuzi kozi ya FIFA kupimwa ufahamu wa alama
WAAMUZI 54 wanaoshiriki kozi ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) iliyoanza Juni 11 mwaka huu, kesho (Juni 14 mwaka huu) watahamia Uwanja…
Continue Reading....Kaseba uso kwa uso na Cheka uwanja mpya wa taifa siku ya Sabasaba
Mabondia, Francis Cheka (kushoto) na Japhert Kaseba, wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao unaotarajia kufanyika Siku ya tarehe saba mwezi wa saba katika…
Continue Reading....Thomas Mashauri kutetea ubingwa wake June 24 Friends Corner Manzese
BONDIA wa ngumi za kulipwa kutoka kyela mkoani mbeya MAISHA SAMSON ameahidi kumtwanga mpinzani wake THOMAS MASHALI kwa knock-out ya raundi ya 9 ktk pambano…
Continue Reading....Mashindano kusaka vipaji vya ngumi kuanza Juni 15 Dar
MASHINDANO ya kumi bora ya mchezo wa masumbwi yanatarajia kufanyika June 15 katika ukumbi wa Panandi Panandi Ilala Dar es Salaam akizungumza na waandishi wa…
Continue Reading....Polisi Mara yaendelea kuongoza ligi ya Taifa Musoma
POLISI Mara wameendelea kuongoza ligi ya Taifa kituo cha Musoma kwa kuwafunga RED COST 1-0 nakufikisha POITI 11 huku TESSEMA YA TEMEKE ikibanwa mbavu na…
Continue Reading....