Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Ujenzi nchini Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli (Mb) ameteua wajumbe wanne wa Bodi ya Mfuko wa Barabara kwa kipindi cha…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Taarifa ya Mkutano Mkuu wa TFF 2011
MKUTANO Mkuu wa Mwaka (AGM) wa 2011 wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umefanyika kwa siku mbili (Aprili 21-22 mwaka huu) kwenye ukumbi…
Continue Reading....Sudan yashambulia kusini
Sudan Kusini imeishutumu Kaskazini kuwa imeshambulia kwa mabomu kituo muhimu cha mafuta, ambayo inaonesha mzozo baina ya nchi mbili hizo bado haukumalizika. Juma lilopita, wanajeshi…
Continue Reading....JK alikana Tanzania Daima, adai linapotosha
RAIS Jakaya Kikwete amekana taarifa zilizoandikwa na Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Aprili 22, 2012 kuwa kumekuwa na mazungumzo baina ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete…
Continue Reading....Rais Kikwete aenda Malawi kumzika Mutharika
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Blantyre, Malawi jioni kuhushuria Mazishi ya Profesa Bingu wa Mutharika, aliyekuwa Rais wa Malawi, aliyefariki Aprili 5, 2012 Kufuatia…
Continue Reading....Rambirambi za Rais Kikwete kwa Brig. Jenerali Mwakanjuki
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein kufuatia kifo cha mwanasiasa mkongwe Brigedia Jenerali Mstaafu Adam…
Continue Reading....