Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 980

Category: Habari za Nyumbani

Watu wanne wauwawa kinyama Arusha

Posted on: April 26, 2012 - jomushi
Watu wanne wauwawa kinyama Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo (kushoto) akiangalia miili ya watu wanne waliouawa kinyama na kutupwa maeneo tofauti. Wapi kushoto ni Kamanda wa Polisi…

Continue Reading....

TGNP yaitaka Serikali kuwawajibisha mawaziri na watendaji waliofuja fedha

Posted on: April 25, 2012 - jomushi
TGNP yaitaka Serikali kuwawajibisha mawaziri na watendaji waliofuja fedha

Na Mwandishi Wetu MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) imeitaka Serikali kuwawajibisha mara moja mawaziri, manaibu waziri na watendaji wakuu wa Serikali na mashirika ya umma…

Continue Reading....

Naibu Waziri Kitwanga afungua Mkutano wa Umoja wa Taasisi za Mawasiliano Kusini mwa Afrika

Posted on: April 25, 2012 - jomushi
Naibu Waziri Kitwanga afungua Mkutano wa Umoja wa Taasisi za Mawasiliano Kusini mwa Afrika

Continue Reading....

Mkutano Mkuu EAC kujadili maombi ya Sudan Kusini

Posted on: April 25, 2012 - jomushi
Mkutano Mkuu EAC kujadili maombi ya Sudan Kusini

Na Nicodemus Ikonko, EANA WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana Arusha, Tanzania, Jumamosi, Aprili 28, katika mkutano maalum utakaojadili…

Continue Reading....

Mila na desturi zakwamisha chanjo Arusha

Posted on: April 25, 2012April 25, 2012 - jomushi
Mila na desturi zakwamisha chanjo Arusha

JUMLA ya watoto 20,500 inadaiwa hawajapewa chanjo kati ya mwaka 2009 hadi 2011 huku wazazi wengi wakionekana kukumbatia mila potofu kuwa chanjo ina madhara kwa…

Continue Reading....

UVCCM Arusha wasema waliomtuhumu Millya ni mamluki

Posted on: April 24, 2012 - jomushi
UVCCM Arusha wasema waliomtuhumu Millya ni mamluki

Na Mwandishi Wetu, Arusha JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM mkoani Arusha umesema baadhi ya wanachama waliojitokeza na kumtuhumu aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja huo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari